PEMBENNE

WOLPER "UKWELI KUHUSU HERMONIZE HUU HAPA".

                   Msanii wa bongo movie ambaye alikuwa mpenzi wa moja wa wanamuziki wa WCB rekodi lebo inayo milikiwa na Diamond Platinums hapa ndugu msomaji tuna
muongelea Hermonise na si mwingine, mwana dada Wolper alisema yeye kwa Hermonize basi tena anawaachia wajuaji kwani kwa sasa yeye atajikita kwenye mambo yake ya kijasilia mali tu.

Popular posts from this blog

DUNGA DUNGA IS DOING HIS THINGS IN THE DALADALA(BAD BEHAVIOR)WATCH THIS VIDEO HERE