PEMBENNE

TIWA SAVAGE KASAINIWA ROC NATION "LEBAL YA JAY Z".

         Tiwa Savage star wa Nigeria alie tamba sana na kibao cha "Bad " akiwa na wiz kid
amethibitisha kwenye moja ya kipindi cha runinga huko nchini Nigeria kwakusema kuwa ni kweli amesainiwa na Jay z kwenye lebal ya "Rock Nation" lakini hiyo ija vunja uhusiano na wamiliki wake wa zamani ambao ni Mavin's records ambayo inamilikiwa na Don Jazzy.

Popular posts from this blog

DUNGA DUNGA IS DOING HIS THINGS IN THE DALADALA(BAD BEHAVIOR)WATCH THIS VIDEO HERE